TOOOBAAA ASALALEE MWANAMKE AFIKISHA MIAKA MITANO HAKILALA NA MAITI YA MAMA YAKE KITANDA KIMOJA. .



mwanamke mmoja amelala miaka mitano kitanda kimoja na maiti ya mama yake, mpaka polisi walivyo amua fungua mlango nakuingia ndani kuungundua hiyo maiti huko ujerumani.
maiti hiyo ilikadiliwa kua na miaka 83, majirani walianza kumuhisi vibaya pale alipokua anakataza watu wasiingie ndani ya nyumba yake hakuruhusu mtu yoyote kuingia ndani wakati hakuikua kawaida yake hapo mwanzo.
msamalia mwema alipiga simu polisi nakueleza kinacho endelea kwenye nyumba ya huyo dada, polisi walivunja mlango mlango nakuingia ndani na kukuta maiti ikiwa tayari imesha oza.
mwanamke huyo anashikiliwa na polisi baada ya kukiri kosa kua alikaa na maiti hiyo toka 2009 hadi leo 2014 ndani ya nyumba, walipo mpima akiri walikua hana tatizo.

Comentários

Mensagens populares deste blogue

LAANA- JAMAA AVUJISHA PICHA FACEBOOK ZA UCHI ZA MPENZI WAKE MWANAFUNZI WA CHUO CHA UTALII BAADA YA KUTOSWA 18+